|
\v 8 Kwa hiyo, usiwe kama wao, kwa kuwa Baba yako anatambua mahitaji yako hata kabla hujaomba kwake. \v 9 Hivyo basi omba hivi: Baba yetu uliye mbinguni, ulitukuze jina lako. \v 10 Ufalme wako uje, mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni. |