sw_mat_text_reg/05/38.txt

1 line
181 B
Plaintext

\v 38 Mmesikia imenenwa kuwa, 'Jicho kwa jicho, na jino kwa jino.' \v 39 Lakini mimi namwambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akikupiga shavu la kulia mgeuzie na jingine pia.