sw_mat_text_reg/04/21.txt

1 line
271 B
Plaintext

\v 21 Na Yesu alipokuwa akiendelea kutoka hapo aliwaona ndugu wawili wengine, Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana kaka yake. Walikuwa katika mtumbwi pamoja na Zebedayo baba yao wakishona nyavu zao. Akawaita, \v 22 na mara moja wakaacha mtumbwi na baba yao nao wakamfuata.