sw_mat_text_reg/04/07.txt

1 line
269 B
Plaintext

\v 7 Yesu akamwambia, ''Tena imeandikwa, 'Usimjaribu Bwana Mungu wako.''' \v 8 Kisha, ibilisi akamchukua na kumpeleka sehemu ya juu zaidi akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari ya hizo zote. \v 9 Akamwambia, "Nitakupa vitu vyote hivi ukunisujudia na kuniabudu."