sw_mat_text_reg/03/04.txt

1 line
292 B
Plaintext

\v 4 Sasa Yohana alivaa manyoya ya ngamia na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni. \v 5 Kisha Yerusalemu, Yuda yote, na eneo lote linalozunguka mto Yorodani wakaenda kwake. \v 6 Walikuwa wakibatizwa naye katika mto Yorodani huku wakitubu dhambi zao.