sw_mat_text_reg/02/17.txt

1 line
216 B
Plaintext

\v 17 Ndipo lilipotimizwa lile neno lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yeremia, \v 18 "Sauti ilisikika Ramah, kilio na maombolezo makubwa, Raheli akiwalilia watoto wake, na alikataa kufarijiwa, kwa sababu hawapo tena."