sw_mat_text_reg/02/04.txt

1 line
364 B
Plaintext

\v 4 Herode akawakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, naye akawauliza, "Kristo atazaliwa wapi?" \v 5 Wakamwabia, "Katika Bethelehemu ya Uyahudi, kwa kuwa hivi ndivyo ilivyoandikwa na nabii, \v 6 Nawe Bethelehemu, katika nchi ya Yuda, si mdogo miongoni mwa viongozi wa Yuda, kwa kuwa kutoka kwako atakuja mtawala atakayewachunga watu wangu Israeli."