sw_mat_text_reg/02/01.txt

1 line
356 B
Plaintext

\v 1 Baada ya Yesu kuzaliwa katika Bethelehem ya Uyahudi katika siku za mfalme Herode, watu wasomi kutoka mashariki ya mbali walifika Yerusalemu wakisema, \v 2 "Yuko wapi yeye ambaye aliyezaliwa Mfalme wa Wayahudi? Tuliiona nyota yake mashariki nasi tumekuja kumwabudu." \v 3 Pindi Mfalme herode aliposikia haya alifadhaika, na Yerusalemu yote pamoja naye.