sw_luk_text_ulb/05/20.txt

1 line
229 B
Plaintext

\v 20 Akiangalia imani yao, Yesu alisema, "Rafiki, dhambi zako umesamehewa." \v 21 Waandishi na Mafarisayo waliaanza kuhoji hilo, wakisema, "Huyu ni nani anayeongea makufuru? Ni nani anaweza kusamehe dhambi ila Mungu pekee yake?"