sw_1pe_text_ulb/03/05.txt

1 line
280 B
Plaintext

\v 5 Kwa kuwa wanawake watakatifu walijipamba wenyewe kwa njia hii. Walikuwa na imani katika Mungu na waliwatii waume zao wenyewe. \v 6 Kwa njia hii Sara alimtii Ibrahamu na kumwita yeye "bwana" wake. Ninyi sasa ni watoto wake kama mtafanya yaliyo mazuri na kama hamwogopi mabaya.