swc_luk_text_reg_Uncomplete/19/37.txt

1 line
273 B
Plaintext

\v 37 Wakati walianza kutelemuka kilima kya mizeituni kundi ya wanafunzi ilianza kufurahi na baka mutuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sabubu yu mambo makubwa waliona, \v 38 wakasema: Abarikiwe mufalme anyekuya kwa jina la bwana, amani binguni na utukufu katika pahali pa juu.