swc_luk_text_reg_Uncomplete/19/32.txt

1 line
357 B
Plaintext

\v 32 Wake walitumiwa uakaenda na kukuta mutoto wa punda vile Yesu alisema. \v 33 Vile wlikuwa wakifungula mutoto wa punda, benye naye baka sema: « Juu ya nini munamufungula?» \v 34 Waka jibu: «Bwana eko naye lazima.» \v 35 waka mubeba kwa Yesu, wakatupa manguo juu yake na waikalisha Yesu juu yake. \v 36 Walikuwa naenda, wakatandika manguo mu njiya.