swc_luk_text_reg_Uncomplete/12/45.txt

1 line
264 B
Plaintext

\v 45 \v 46 Wakati batu balikuabana musikiliza, akabaambia banafunzi bake. «Mujichuge na baandishi, benye bana tembea na manguo mirefu, na bana pende kayionyesha ku macho ya batu mingi, na banapenda makiti ya heshima ku ma sinagogi na mafasi ya heshima ku mafeti: