swc_luk_text_reg_Uncomplete/12/37.txt

1 line
275 B
Plaintext

\v 37 Benye balikufa banafufuka, LOta Musa alionyesh fasi katika habari ya kichaka, pale alimwita Mfalme Mungu wa Ibrahimu na Mungu ya Isaka na Yakobo. \v 38 Mungu haiko Mungu wa benye balikufa lakini ni Mungu ya batu benye biko bazima, kwa sababu bote banaishi ndani yake»