swc_luk_text_reg_Uncomplete/12/27.txt

1 line
261 B
Plaintext

\v 27 Bamoya ya basandukukayo bakamuenda, bale benye kusema kama hakuna ufufuo. \v 28 Bakamuliza bakasema, "Mwalimu, Musa alituandikia: « ndugu wa bwana mwenye anakufa, naacha bibi bila mutoto, nduguu wake atmoa bibi ya nduguya, ju amuzalie ndugu yake mutoto»