swc_luk_text_reg_Uncomplete/12/20.txt

1 line
319 B
Plaintext

\v 20 Banamuangalia kwa makini, bakatuma bapelilizibenye banajigeuza kama batu ya haki, ju bapate makosa kwa hotuba yake, ju bamupeleke kwa batawala na benye mamlaka. \v 21 Nabo bakamuliza, mwalimu, tunayuwa unafundishs mambo ya kweli na enye haishawishiwe na mutu yeyote, lakini unafundisha ukweli kuhusunjia ya Mungu.