swc_luk_text_reg_Uncomplete/12/08.txt

1 line
386 B
Plaintext

\v 8 Yesu akabaambia, na miye sitabaambia kama kwa mamlaka gani na fanya mambo hiyi. \v 9 Anabapatia mfono huyu, mutu moya alipanda shamba ya mizabu, akasafiri mbali na kuabaacha balimayi kazi ya shamba yake. \v 10 Wakati ya mawuno, akatuma mutumishi kwa balimayi ya mizabibu ju bamupatie nusu ya matunda ya mizibu lakini benye kulima mizabibu bakamupiga na bakamurudisha bila matunda.