swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/44.txt

1 line
351 B
Plaintext

\v 44 Kisha Yesu aka geuka na aka mwangaliya mwanamuke ule, kisha akasema na Simoni una ona mwana muke uyu, nilingiya ndani ya nyumba yako lakini ahukinipatishiya mayi juu ya kuosha mikulu yangu, lakini yeye ana niokesha kwa machozi yake, alilombanisha mikulu yangu na akaipa nguza na nyele yake \v 45 Haukunibusu lakini yeye ana nibusu kumikulu yangu