swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/41.txt

1 line
358 B
Plaintext

\v 41 Yesu akasema, kulikuwa na tajiri moya aliye kopesha butu mbili na ndenisana na wa pili alikuwa ndeni kidogo. \v 42 Lakini haba kuwa na gisi yakulipaiyo madeni, namwenye feza aka bahurumiya bote mbili, kati ya batu aba bawili nani atafurayi na kupenda zaudi. \v 43 Simoni akasema ni ule alikuwa na ndeni ya mingi zaudi, Yesu akasema naye: « una weza»