swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/27.txt

1 line
294 B
Plaintext

\v 27 Huyu njoo mutu ule mandiko ilisemaka tazma na tuma mjumbe wangu mbele ya macho yenu, yeye ata tengeneza njiya kwa ajili yangu. \v 28 Na myambiya, mutu wote aliye zaliwa na mwanamuke akuna mukubwa kupita Johano lakini ule mwenye ata mudogo mu ufalme wamungu yeye ana mulita Yohano bukubwa.