swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/41.txt

1 line
306 B
Plaintext

\v 41 Ju ya nini basi unaono kibanzi ndani ya macho ya nduguyake na hauone boriti (buchafu) enye iko mu masho ? \v 42 Namuna gani unaweza kusema ndugu nikutishe buchafu ku macho yaka kama haone enye iko ku machowako? Munafiki (Mutu sura mbili)! Tosha kwanza buchafu mwako, kisha utoshe ya mwenze wako.