swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/39.txt

1 line
267 B
Plaintext

\v 39 Akabaambia mfana.« Mutu wakukufa macho ataweza kumwongoza mwenze yake wa kukufa macho?Akafanya vile bote ba wili bataanguka mu shimo moja? \v 40 Mwanafunzi hawezikuwa mukubwa kupita mwalimu wake, lakini mutu yote akifushwa kwa uka milifu atakuwa mwalimu yake.