swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/31.txt

1 line
472 B
Plaintext

\v 31 Enye unapenda bakufanyize, uiya ifanya na bengine. \v 32 Kama munapenda tu bale benye banapenda, ile ni malipo gani kwenu ? Sababu hata bapagani banapenda bale benye banapenda. \v 33 Mutapata nini kwa kufanya uzuri kwa bale tu benye banabafanyiziaku uzuri? Kwa sababu hata bapagano pia bana fanya vile. \v 34 Faida gani mutapata kwa kukopesha mutu ju abrushie tena? Hata bapagano banakopeshana bao benyewe na banachunga kupokea sawa sawa na makuta enye balikopesha.