swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/29.txt

1 line
209 B
Plaintext

\v 29 Mutu akikupiga sharu moya, umugeuzie na ingini ya pili. \v 30 Kama mutu anakunya nganya joho yako, usimukaze na kanzu yako. Mupatie mwenye anakulomba. Mutu akikunyanganya bitu yako, usilombe akurudishie.