swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/20.txt

1 line
249 B
Plaintext

\v 20 Kisha akabaangalia banafunzi yake, nakusema, « Munaribikiwa ninyi ba masikini, kwa maana ufalme wa Mungu iko yenu. \v 21 Munabarikiwa ninye benye muko na njala sasa, kwa maana mutashiba. Muna bariki ninyi banye munalia sasa, maana mutacheka.