swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/12.txt

1 line
216 B
Plaintext

\v 12 Inafika ilie siku enye Yesu alienda kuomba yulu ya mulima , na akaipitisha usiku mzima kuomba Mungu. \v 13 Asubuhi, akbaita banafunzi wake na akabachagua kumi na mbili ndani yabo, benye alibaita pia « Batume»