swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/03.txt

1 line
310 B
Plaintext

\v 3 Yesu anbajibia na akasema, « Hakusoma enye Daudi alifanya wakati alisikia njala, yeye na batu yake? \v 4 Alingia mu nyumba ya Mungu na akakamata mikate mitakatifu akaikula na anabapatia batu yake, hata koma ilikuwa alali kwa makuhani kuikula.» \v 5 Kisha akabaambia: Mutoto wa Mutu ni Mfalme wa sabata»