swc_luk_text_reg_Uncomplete/05/12.txt

1 line
300 B
Plaintext

\v 12 Alikwa dani ya mugini ya apo na akakuta mutu moya mwenye ana yala na ma gonjo ya ukoma. Aka ona Yesu, akanguka sura yake kubulongo na kuomba anasema: "bwana, kama upenda, una weza kunitakasa". \v 13 Sasa, Yesu aka nyorosha mokono, ku bagusa na kusema: "na ipenda, upone" na pale, ukoma akatoka.