swc_luk_text_reg_Uncomplete/11/05.txt

1 line
579 B
Plaintext

\v 5 Yesu alisema" nani ndani yenu ata kwa na rafika , na ataendaka kwake kubusiku, na kumwambiya : " rafiki ni patiye bipande tatu ya mikate. \v 6 Dju moya rafiki yangu alisha kunyiya, na sima ata kitu ya ku mupatiya. \v 7 Kisha ule wa ndani, akamujibiya " usi niuzi mulango ilisha fungiwa , batoto yangu na miye :kulisha kulala ku kitanda. Sita lamuka tena dju ni kupe mukate. \v 8 Na bambiya ata koma ala muke dju ya kubapatiya mukate sababu uko rafika yake kwa sababu ya kwendela na kumugongea bila shida , ata lamuka na kuba patiya bipande mingi ya mikate yenye unataka.