swc_luk_text_reg_Uncomplete/08/11.txt

1 line
423 B
Plaintext

\v 11 Musikiye sasa ma ana ya ile mufano: mbeko ni neno la Mungu. \v 12 Ile ili angukia pembeni ya njia, ni bale bakusikiya neno sasa shetani kuya na kubeba ile neno iko ndani ya roho juu basi amini na basi weze ku okoka. \v 13 Tena, ile nayo ili anguka pa maibwe, ni bale bana pokeyaka neno na furaha pale beko na ihubiri, lakini bana kosa mizizi, bana iamini tu saa kiloko, kufika saa ya kujaribiwa, bana anguka na kucha.