swc_luk_text_reg_Uncomplete/02/22.txt

1 line
429 B
Plaintext

\v 22 Bwingi bwa masiku ya kutakasa wa kuzala ili enea, kufwa tana na sheria ya Musa, Yosefi na Maria bakamupeleka ku hekalu ku Yelusalema juu bamu oneshe mbele ya Bwana. \v 23 Ina andikwa mu sheria ya Bwana: « Kila mtoto mwana ume wa kwanza, bata mupa ye Mungu. \v 24 Bakafika batoe na sadaka juu ya mtoto vile ina andikwa mu sheria ya Bwana: « ba njiwa ba pori bawili wa kiume na wa kike ao bitoto bya njiwa ya mugini mbili.