swc_luk_text_reg_Uncomplete/23/33.txt

1 line
321 B
Plaintext

\v 33 Wakati balifika na fasi yenye kuitwa mufupa wa kichwa, ba askari ba kamutiya kumusalaba, pamoja na bayambazi mbili, moya kumukono wa kuume na mwengine kumukono wa kushoto. \v 34 Yesu akasema baba uba hurumiye kwasababu habajuwe mambobeko na tenda (bajinga) ba askari baka pasula nguo yake kisha baka ipikiya kuna.