swc_luk_text_reg_Uncomplete/17/25.txt

1 line
232 B
Plaintext

\v 25 Inaombwa bateswa mbele kwa mambo mingi na kukataliwa na batu. \v 26 Sawa vile ilikuwa wakati wa Nuhu, njo vile itakuwa wakati wa kuya kwangu. \v 27 Batu bata kula, kunywa na kuowesha, mpaka siku Nuhu aliingiya ndani ya chombo.