swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/34.txt

1 line
272 B
Plaintext

\v 34 Na Maria aka sema na malaika: « Maneno hiyi ita namuna kani? kwa sababu sijuwe mwana ume?» \v 35 Na malaika arimujibu: « Roho mutakatifu itashuka yulu yako na nguvu ya juu ita kufunika kwa kiuvuri. nikule mtoto atazalikwa mutakatifu, na bata muita mwana wa Mungu.