swc_luk_text_reg_Uncomplete/12/35.txt

1 line
170 B
Plaintext

\v 35 Kakini hakuna kuoa wala kuolewa kwa benye balipata ufufuko ya milele. \v 36 Wala habatakufa tena, ju batakuwa sawa sawa na bamalaika, na bata kuwa batoto ya ufufuo.