swc_luk_text_reg_Uncomplete/12/13.txt

1 line
343 B
Plaintext

\v 13 Mukubwa wa mashamba akasema, nifanye nini ? Nita mutuma mutoto wangu mupendwa. Saa ingine batumueshumia. \v 14 Lakini wakati balimayi mizabu balimwona, bakasemezana benyewe, na bakasema: «Angalieni uyu njo mnishi.Tumuue, ju tubakie na unithi yake. \v 15 Bakamutosha inje ya mashamba ya mizabibu bakamuua. Kwa hiyo mukubwa atafanya nini?