swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/24.txt

1 line
452 B
Plaintext

\v 24 Wakati bana funzi ya Yohane bakarudiya, Yesu aka anza kusema kwa ajili ya Yohane mbele yabatu bote, kitu gani mullienda kwangaliya pangwani? muti yenye ku tikisika na pepo ? \v 25 Sasa mulienda kwangaliya nini ? kwangaliya mutu mwenye kuvala manguo ya beyi, kwasababu batu banye kuvalava manguo babeyi ao ya muzuri ikalaka ndani ya manyumba ya ba falme. \v 26 Basi mulienda kule kwangiliya nini ? nabii, kweli nina baambiya uyu pita ata nabii.