swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/18.txt

1 line
343 B
Plaintext

\v 18 Bana funzi ya Yohane baka mwambiya yaono mambo yote iyi. \v 19 Naye akatuma bana funzi bake bawili mwende muka mulize Bwana asema weye njoo uju tuko na chuga ao kuko mwengine mwenye kuya nyuma ? \v 20 Wakati bakafika pembeni ya Yesu bakasema, Yohane mbatizayi ana tutuma kwako kusesa, weye njoo ule ata kuya ao kuna mwengine tumu chuge?