swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/02.txt

1 line
488 B
Plaintext

\v 2 Tazama kulikuwa mukubwa moja waba asikari, alikuwa na mutumishi wake moja ali kuwa mugonjwa karibu na kufa. \v 3 Na wakati mukubwa waba askari alisikiya abari ya Yesu, aka tuma bazee ya Yuda, bamu ombe Yesu akuye kuponesha mutumishi wake. \v 4 Wakati balifika karibu na Yesu, baka muliliya sana kwanguvu, bakisema, anastahili umufanyizeye mambo yenyewe ana kuomba kwa ajili ya mutumishi wake, \v 5 kwasababu ana penda sana taifa yetu na niyeye njoo alitujengeya inagogi mugini yetu.