swc_luk_text_reg_Uncomplete/17/11.txt

1 line
246 B
Plaintext

\v 11 Ilifika wakati eko naenda Yerusalema, na akavuka mupaka wa Samariya na Galilaya. \v 12 Wakati anaingiya ku nijini moya, batu kumi balikuwa na bukoma, balikutana naye, bakasimama mbali na yeye. \v 13 Bakalalamika Yesu, mwalimu, utuhurumiye!.