swc_luk_text_reg_Uncomplete/04/25.txt

1 line
477 B
Plaintext

\v 25 Lakini na myambiya kweli kulikuwa ba jane ba mingi wakati ya nabii Eliya ndani ya Ismael lakini wakati mungu alifunga nvula muda wa myaka tatu na nusu na njala mukubwa ilikuwa katika inchi muzima. \v 26 Lakini Eli mungu haku mutu ma kunyumba ya kila mujane apana lakini alienda ya Serepta karibu na mugini wa sidoni. \v 27 Na tena kuli kuwa batu ya mangojwa ya bukoma bamingi sana wa kati ya nabii Elishala kini bote aba kuponeshwa apana, mpaka naamane mtu wa Siri.