swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/64.txt

1 line
292 B
Plaintext

\v 64 Na mara moja kinua chake kilisema akaleta njila na aka msifu Mungu. \v 65 Na boka iri bakamata bote barijungulukiwa na muji ule. Na munulima ya Yudea. \v 66 Na bote barishikiya maneno haya, balipasha na kusema: Huyu ni mtoto wa mufano gani? Na mu mukono wa Bwana ulikuya pamoja na yeye.