swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/05.txt

1 line
403 B
Plaintext

\v 5 Na wakatiwa Herodi mufalme wa Wayuda, kulikuya mukuhani mukubwa kwa jina ya Zakaria, wa arikumu nkunji ya ba padri ba mu abiya. Na nuke wakizazi ya Aroni jina yake Elisabeti. \v 6 Na bote bawiri barikuya benye kweli mbele ya Mungu, bari heshimiya makanuni na mafundisho ya Bwana. \v 7 Na bakukuye na mtoto, sababu Elisabeti hakukuya mwenye kuzala, na bote miaka yao ilikuya kupita kwa ile wa kati.