swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/06.txt

1 line
479 B
Plaintext

\v 6 Siku ingine ya sabata, Yesu alingia ndani ya sinagogi na akafundisha batu. Pale kulikuwa matu moja mwenye muko,no wake ya kulia ilikatika na imeregeya. \v 7 Baandishi na ba farisayo balikuwa banamwangalia Yesu kwmakimi ju ya kuona kama atamu ponesha mutu siku ya sabata, kwa ajili ya kupata sababu ya kumustaki kwa sababu anavunja sheria. \v 8 Lakini alijua mawazo yabo na akamwambia ule mutu,«Lamuka, simama hapa kati ya aba bote» huyo mutu analamuka na akasimama pale.