swc_luk_text_reg_Uncomplete/02/48.txt

1 line
349 B
Plaintext

\v 48 Pale bali mu ona, na bo vilevile bu i shangala sana na mama yake akasema naye: « Mtoto yangu, juu ya nini unetufanya hivi? sikiya, baba yako na miye tuko tuna kutafuta na boka sana.» \v 49 Aka baambiya: « Muna nitafuta juu yanini, hamujuwe kama mina pashwa kwikala mu nyumba ya Baba yangu.» \v 50 Lakini bo habasikia ma ana ya ile alisema.