swc_luk_text_reg_Uncomplete/02/15.txt

1 line
266 B
Plaintext

\v 15 Pale bamalaika banarudia ku mbingu, bale bachungaji wa one shana aseme: « Twendeni sasa paka ku Beteleheme tukaone hii mambo ina tokea mo, ile Bwana an tu onesha. \v 16 Baka enda mbiyo kule, bakakuta Maria na Yosefu na mtoto analala mukibao kya kulisha nyama.