swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/29.txt

1 line
326 B
Plaintext

\v 29 Wakati batu bote baka sikiya ivi, pamoja naba kongolaji kodi bakasema na kutangaza ya kama Mungu ni mwenye haki kabisa . Na kulikuwa pale batu baliyobatizwa na Yohano. \v 30 Lakini bafarisayo na bahandishiya sheria ya ba Yuda bale basipo pata ubatizo wa Yohano bakapinga kabisa mambo ya Mungu kwasababu ya kujuwa mingi.