swc_luk_text_reg_Uncomplete/20/05.txt

1 line
232 B
Plaintext

\v 5 Baliwaza ndani yabo benyewe, bakasema, tukijibu inatoka mbinguni, atatuuliza, basi ju ya nini hamukwitika? \v 6 Na tukisema inatoka kwa mutu, batu bote hapa bata tupiga majiwe, kwa sababu bote banaamini kama Yoha alikuwa nabii.