swc_luk_text_reg_Uncomplete/23/39.txt

1 line
389 B
Plaintext

\v 39 Jambazi moya ulealikuwa, kumusalaba akanza lumuzarawu nakusema, kama waye ni Kristo uji okowe basi na utuokowe na siye? \v 40 Najambazi mwengine aka mujibu na aka mukemeya aklisema, ju ya nini weye hahugope Mungu, siye bote tuko katika mateso. \v 41 Lakini siye tuna sulubiwa kwa haki, kwsababu siye tuna sulubiwa kufatana na kijambazi kyetu lakini, mutu uyun akufanya kosa ata moya.