swc_luk_text_reg_Uncomplete/23/36.txt

1 line
234 B
Plaintext

\v 36 Wakati ba askiari balikuwa na muzarau, balimuchofeya na kumupatiya pombe yabu chachu. \v 37 Baka mwambiya kama uko mufalme waba Yuda ujiponeshe basi. \v 38 Na bakahandika yulu ya mu salaba wake « Huyu ndiye mufalme waba Yuda.»